Siku ya tarehe 31.october.2011 ilikuwa ni siku ya furaha kwa wakazi wa Newala hususani vijana . Hii ni siku ambapo Kituo cha vijana ( Newala youth resource center ) kilizinduliwa rasmi na balozi wa Norway nchini Tanzania Bi Ingunn Klepsvik. Katika kituo hiki vijana watapata huduma za vitabu, vijarida na magazeti yenye taarifa mbalimbali zenye kuleta maendeleo. Vile vile watapata fursa ya kushiriki katika michezo mbalimbali ambayo inapatikana kwenye kituo hiki.
maandag 7 november 2011
ufunguzi wa kituo cha vijana Newala
Siku ya tarehe 31.october.2011 ilikuwa ni siku ya furaha kwa wakazi wa Newala hususani vijana . Hii ni siku ambapo Kituo cha vijana ( Newala youth resource center ) kilizinduliwa rasmi na balozi wa Norway nchini Tanzania Bi Ingunn Klepsvik. Katika kituo hiki vijana watapata huduma za vitabu, vijarida na magazeti yenye taarifa mbalimbali zenye kuleta maendeleo. Vile vile watapata fursa ya kushiriki katika michezo mbalimbali ambayo inapatikana kwenye kituo hiki.
Abonneren op:
Posts (Atom)
Volgers
Blogarchief
Over mij
- Albin Kalolo
- He writes at his own capacity on issues related to global health ;Covering such topics as communicable and non-communicable diseases, Reforms in health care, health care and politics, health promotion, Technology in health care...and many more. Scientific publications: https://scholar.google.com/citations?user=93RLoFwAAAAJ&hl=en