Katika kazi mbalimbali walizofanya, ni pamoja na kuhamasisha vijana kupima na kujua hali zao kuhusiana na ugonjwa wa UKIMWI ambao ni tatizo kubwa miongoni mwa vijana sehemu mbalimbali duniani. Angalia video iliyopo kwenye tovuti iliyoandikwa hapo chini.
http://www.youtube.com/watch?v=0VtVjGyCs_Y
Vile vile waweza kuangalia video nyingine, ambayo ilichukuliwa siku ya tamasha la muziki wa kizazi kipya wenye ujumbe wa UKIMWI lilifanyika mjini Newala .
http://www.youtube.com/watch?v=s6bhPpJ8S50&NR=1
zondag 24 januari 2010
vipaji vya NEYONE
Abonneren op:
Posts (Atom)
Volgers
Blogarchief
Over mij
- Albin Kalolo
- He writes at his own capacity on issues related to global health ;Covering such topics as communicable and non-communicable diseases, Reforms in health care, health care and politics, health promotion, Technology in health care...and many more. Scientific publications: https://scholar.google.com/citations?user=93RLoFwAAAAJ&hl=en